Monday, 4 May 2015

YAMOTO BAND WAKIFANYA YAO NDANI YA UKUMBI WA TRAVETINE MAGOMENI. SIKU YA JUMAPILI TAREHE 26/04/2015

 Mashabiki wa Yamoto Band
 CEO wa Dear Rukia Media mwenye fulana ya njano akifuatiwa na Chidi Mpiga kinanda wa Jahazi Modern Taarab na Meneja wa Yamoto Band Chambuso
 Aslay Isihaka maarufu kwa jina la ‘Dogo Aslay’ akiimbisha mashabiki waliojitokeza
 Yamoto band wakiwa kazini
 Enock Deogratius ‘Enock Bella’ akionyesha ufundi wa kucheza
 Enock Deogratius ‘Enock Bella’

 Umati uliojitokeza kushuhudia Yamoto Band

 Mbwana Yusuph Kilungi ‘Maromboso’ akipagawisha mashabiki


Mchekeshaji maarufu nchini Tanzania anayejulikana kwa jina la Stan bakora  akibadilishana mawazo na mwimbaji wa Yamoto Band Enock Deogratius ‘Enock Bella’

No comments:

Post a Comment